rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,039
Yaani sie alikuwepo anakula mpaka jasho la pua





Vinajibu hivi halafu baada ya muda unavikuta kule Tandika-Maputo vinaloga vipate mume........nnachowapendea wale waganga wa maeneo yale wana vinyandua kwanza halafu wanawaambia wachome mahindi ya bisi na ndimu watapata mume,biashara inaishia hapo





Mtatuma tu,
Wanapata au?? Na mie niendeVinajibu hivi halafu baada ya muda unavikuta kule Tandika-Maputo vinaloga vipate mume........nnachowapendea wale waganga wa maeneo yale wana vinyandua kwanza halafu wanawaambia wachome mahindi ya bisi na ndimu watapata mume,biashara inaishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app

Hawapati,wanaishia kuliwa tu...mwishowe wanaanza kujiuza tu.Wanapata au?? Na mie niende![]()
SelfikaMashoga zangu wa wapi tena jamani wanaodai hivyo?