rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,040
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]View attachment 1855202
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]View attachment 1855202
Yaani sie alikuwepo anakula mpaka jasho la pua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Vinajibu hivi halafu baada ya muda unavikuta kule Tandika-Maputo vinaloga vipate mume........nnachowapendea wale waganga wa maeneo yale wana vinyandua kwanza halafu wanawaambia wachome mahindi ya bisi na ndimu watapata mume,biashara inaishia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtatuma tu,[emoji16][emoji16]View attachment 1855203
Wanapata au?? Na mie niende[emoji23]Vinajibu hivi halafu baada ya muda unavikuta kule Tandika-Maputo vinaloga vipate mume........nnachowapendea wale waganga wa maeneo yale wana vinyandua kwanza halafu wanawaambia wachome mahindi ya bisi na ndimu watapata mume,biashara inaishia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uzembe[emoji23]miwani kubwa lakini hauoni[emoji2440][emoji2440]
Hawapati,wanaishia kuliwa tu...mwishowe wanaanza kujiuza tu.Wanapata au?? Na mie niende[emoji23]
SelfikaMashoga zangu wa wapi tena jamani wanaodai hivyo?