Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
FB_IMG_1625005199713.jpg
 
Asante sana kwa historia

Ila unavyosimulia utadhani ulikuepo enzi hizoo
Weweeee!

Mwaka 1978 tunamfurusha Idd Amini nilikuwa na miaka 34. Nilitaka hata kujitolea kwenda vitani nikakataliwa kuwa umri wangu ulikuwa umekwenda kidogo.

Msituone hivi wengine humu ni sawa na baba zenu. Na kuanzia leo shikamoo yangu naidai wallahi
 
Weweeee!

Mwaka 1978 tunamfurusha Idd Amini nilikuwa na miaka 34. Nilitaka hata kujitolea kwenda vitani nikakataliwa kuwa umri wangu ulikuwa umekwenda kidogo.

Msituone hivi wengine humu ni sawa na baba zenu. Na kuanzia leo shikamoo yangu naidai wallahi
Hahaha ila umejua kunichekesha, kama mwaka 74 ulikua na miaka 34, Basi wewe ni age ya Nyerere

SHIKAMOO MZEE MZIMA, wakati naandika hii shiakmoo nimepiga na goti kabisa
 
Hahaha ila umejua kunichekesha, kama mwaka 74 ulikua na miaka 34, Basi wewe ni age ya Nyerere

SHIKAMOO MZEE MZIMA, wakati naandika hii shiakmoo nimepiga na goti kabisa
Marahabaaaa. Na kila siku uwe unafanya hivyo kama zilivyo mila za Wasukuma....

Nilikuwa na miaka 34 mwaka 1978 tulipoingia vitani rasmi kumfundisha adabu Nduli Idd Amin Dada...

Umri umeenda sema ndo hivyo vimazoezi vya hapa na pale vinasaidia. Kwema lakini huko kwako?
 
Marahabaaaa. Na kila siku uwe unafanya hivyo kama zilivyo mila za Wasukuma....

Nilikuwa na miaka 34 mwaka 1978 tulipoingia vitani rasmi kumfundisha adabu Nduli Idd Amin Dada...

Umri umeenda sema ndo hivyo vimazoezi vya hapa na pale vinasaidia. Kwema lakini huko kwako?
Shikamoo utapata kila siku, ila sasa hayo mazoezi na mimi nataka unifundishe nisizeeke
 
Back
Top Bottom