Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20210710-WA0028.jpg
 
Katika ujana wake alikuwa mwanamapinduzi sana tena mwenye fikra zenye kutoa cheche. Ungemsikiliza enzi zile anapambana kumfurusha Idd Amin ungesema naam! Hapa Afrika imelamba dume.

Tatizo lake ni kukaa madarakani muda mrefu na kwa kadri anavyozeeka ndivyo anavyozidi kuharibu kabisa. Aangalie sana wasije wakamwondosha kwa nguvu.
Asante sana kwa historia

Ila unavyosimulia utadhani ulikuepo enzi hizoo😂
 
Back
Top Bottom