




. Njemba lazima zikandie
Deserved the sour end marathonA short story with a happy ending
View attachment 1842830View attachment 1842831View attachment 1842832



Nilikosa kosa kumdinya Mpare JKT basi tena mpaka leo sijabatisha dah



True brother,sasa ndo ukute amepata mimba changa na mimba ikukatae aisee km baba hujielewi ndo kipindi ambacho unaweza kufanya kitendo cha ajabu.Mara oohh unanuka jasho,!!,mara oh mafuta/manukato unayopaka yananikera,mara oh ukiniongelesha nitatapika,sitaki harufu ya pombe.Ukirudi mapema kero /ukiwahi home keroHahahaha ndo huko kujitoa akili ili uwe juha ndo akili yenyewe
La sivyo maugomvi hata yasiyokua na msingi. Kuna watu hadi wanaziogopaga nyumba zao. Yaaani akitoka kazini anaanza kuwaza akazurure wapi muda uende ili asiende home





Sawa sawa ila asije kuwa anajilamba sababu ya huyo mwenzie
Na hutapata tena bahatiNilikosa kosa kumdinya Mpare JKT basi tena mpaka leo sijabatisha dah![]()




Kapo kamoja kitaa kakijichanganya ene taimu nakapelekea moto. Nasikia vibinti vya Kipare vifupi fupi lakini vitamu balaa. Na ninavyopenda makande basi we acha tu. Nitaleta mrejesho!



Kapo kamoja humu humu JF kakijichanganya ene taimu nakapelekea moto. Nasikia vibinti vya Kipare vifupi fupi lakini vitamu balaa. Na ninavyopenda makande basi we acha tu. Nitaleta mrejesho!![]()