Sisi form six tunakaribia kufanya mitihani hivyo unaomba tutolewe kwenye mambo ya kufagia fagia.
uje DM sasa...pole sana kwa kuachwa

Hivi kupigwa chini na kuachwa kupi kunauma sanaMi nilipigwa chini wiki jana. Nakuja PM nikwambie kakitu![]()

...!!!!!!ukuje chap kabla sijafungaUnapanda gari za wapi kuja huko DM...uje DM sasa![]()

Yaani nimeona hii text nimehisi kama kichwa kimegonga mbao ya mlango, pole madame.Leo naumwa![]()