Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383

napenda sana, ni kitu nje ya kahawa kinafatia magari, hapa natafuta safari ya kulazimisha tukakimbizane huko barabarani.. raha sana
Aisee kuna ubwabwa na ndizi lakini, maana mnyaki ugali ni inabidi aumeze tu, hana jinsi. Afu isijekuwa breakfast nayo ni ugali maziwaUlishawahi kuishi na Msukuma? Najitolea uje ukae nami kwa mwezi mmoja uone tunavyokulaga. Kiugali cha wastani ila nyama na maziwa ndo nyingi. Na maparachichi yapo![]()



Unakuja huji? Mtumishi bwanaAisee kuna ubwabwa na ndizi lakini, maana mnyaki ugali ni anaumeza tu, hana jinsi. Afu isijekuwa breakfast nayo ni ugali maziwa![]()



Unakuja huji? Mtumishi bwana![]()
Brekifasti - Kiporo cha ugali/WaliKuja nataka, ila nijue kwanza menu ya usukumani

Sikuji kwa kweli, kiporo cha ugali tena khaaaaaaaBrekifasti - Kiporo cha ugali/Wali
Lunch - ugali na mboga yo yote
Dinner - ugali (na wali wa kusindikizia)
Kwa vile utakuwa mgeni mboga sana sana itakuwa kuku au nyama ya mbuzi na maziwa. Maparachichi yanapatikana sokoni tunaweza kukununulia.
Unasemaje? Yu kami'n![]()