Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mtaachana-Tu-ARTWORK.jpg
 
Ulishawahi kuishi na Msukuma? Najitolea uje ukae nami kwa mwezi mmoja uone tunavyokulaga. Kiugali cha wastani ila nyama na maziwa ndo nyingi. Na maparachichi yapo
Aisee kuna ubwabwa na ndizi lakini, maana mnyaki ugali ni inabidi aumeze tu, hana jinsi. Afu isijekuwa breakfast nayo ni ugali maziwa
 
Kuja nataka, ila nijue kwanza menu ya usukumani
Brekifasti - Kiporo cha ugali/Wali
Lunch - ugali na mboga yo yote
Dinner - ugali (na wali wa kusindikizia)

Kwa vile utakuwa mgeni mboga sana sana itakuwa kuku au nyama ya mbuzi na maziwa. Maparachichi yanapatikana sokoni tunaweza kukununulia.

Unasemaje? Yu kami'n
 
Brekifasti - Kiporo cha ugali/Wali
Lunch - ugali na mboga yo yote
Dinner - ugali (na wali wa kusindikizia)

Kwa vile utakuwa mgeni mboga sana sana itakuwa kuku au nyama ya mbuzi na maziwa. Maparachichi yanapatikana sokoni tunaweza kukununulia.

Unasemaje? Yu kami'n
Sikuji kwa kweli, kiporo cha ugali tena khaaaaaaa
 
Back
Top Bottom