Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,122
Mh. rais wetu, Mama Samia.....huyu kijana Makonda hana kazi kwa sasa hapa mjini yupo tu anapiga domo na kueneza umbea pamoja na siri za watu hadharani. Juzi tu alikutwa analia tena baada ya kukosa UDC, kwanini asikamatwe na kurudishwa kwao Mwanza akalime? Kwa kweli anatupotezea muda.
View attachment 1826170





Big idea
Shenzi kabisa
Jamaa mpaka kafanana na panya kabisa



