Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383





Miaka miwili tu likitambi hilooooUkipikiwa chapati la namna hilo,BRO nakushauri weka ndani huyo.....View attachment 1825187



Hatimaye umeonekana. Si kwa kupotea huko? Are you OK?Tuombeane msimu uishe salamakunapuliza si mchezo... Leo Mungu katuona kuna kijua kwa mbali
Nilivyocheka aisee 🤣🤣🤣🤣🤣 hadi tumbo limeuma
Hatimaye umeonekana. Si kwa kupotea huko? Are you OK?


wanakera sana hao sometimes,siku nyingine unaamka na jero tu asubuhi na unataka ule ushibe unakuta wao siku hiyo hawajafungua basi ndo unakula maandazi breakfast ya nusu saa
Hv hawa jamaa kwenye kutongoza huwa wanamwaga vesi miksa ahadi za uongo na kweli km wamatumbi,kuvimba akiwa karibu kuliwa nauli au kutokupokelewa simu!!!???
Subiria afe msanii utapiga hela tu
Huyu angeweza dinywa hata yey mwenyewe