Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380



Gwajiboi bana...Inamaana hivi watu bado hawajashtuka kuwa hakuna kitu kama hicho!
Hiki kijiwe kuna wadau walinipanga kwamba hapo kitimoto yao ni tamu balaa.Oooh,sitaki kasheshe mieee....View attachment 1825190


Muamala umeshasoma angalia![]()
Bora maana hata mm nilikuwa nakujulia kwa avatar kwanza kabla ya kusoma jina.Sawa wakuu...hizi avatar hizi zimekuwa ndo utambulisho wetu japo hatujuani. Nitairudisha wakuu.