Naiomba mkuu kama unayo. Mwakipesile ndiye ametawala Playlist yangu hasa nikiwa katika masafa marefu yaani ni upako tosha huko barabarani. Yuko vizuri sana huyo mtumishi na huduma yake inabariki wengi na si Wanyaki peke yenu.
Walete mkuu. Wakirudi huko walikotoka watakuwa na mengi ya kusimulia kuanzia upole na ukarimu wa Wasukuma mpaka uchapakazi wao; na mengineyo mengi mema...