Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,203
- 1,077,385
Tashtiti - Satire. Ina vipengele viwili - dhihaka na kejeli....Vituko !!!
Ndivyo ilivyo kwenye mambo ya wengi mkuu. Kisicho na mvuto kwako chaweza kuwa na mvuto kwa mwingine (ende vaisi vesa). Labda iundwe kamati ya uzi itakayochunguza kipi chenye mvuto kwanza kabla hakijapostiwa. Vinginevyo siri ni moja tu tena rahisi sana. Ukiona kitu hakikuvutii unakausha tu unahangaika na kinachokuvutia. Na hapa tupo kuburudika tu yaani. Mambo siyo siriazi kivilehuu uzi skuiz watu wanajipostia postia tu kila meme wanayokutana nayo hadi unakosa mvuto .
Kuishi na msukuma kunahitaji umakini wa hali ya juu usiwaamini kabisaWasukuma bana dah
Kwa nini mkuu? Wasukuma wacheke ushamba lakini kwenye mambo mengine huko hawako. Walichelewa sana kusoma lakini sasa ndiyo wanaamka amka kunakucha. Ni waaminifu sana usiwaogopeKuishi na msukuma kunahitaji umakini wa hali ya juu usiwaamini kabisa
Daa, samaki mzuri.