Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210608-000544_WhatsApp.jpg
 
Kwani ni kweli hii
Nilimpakia mkongo raia mmoja mwenye mwanya nikasuuza yeye over hour na alinisii nisimalize wakati huo nilikuwa hoi baada ya kumaliza mikao yote nnayojua sikujua kama tatizo ni yeye kuumbwa na ule mwanya
Kumbe ule mwanya ndiyo ulileta dhoruba yote ile?
Pole kamanda. Heka heka za kawaida hizo kwa mabaharia. Uliendelea naye au ulizidiwa ukapiga chini?
 
Hayo ni mambo ya kawaida mkuu hasa kwa vijana wa kiume, nakumbuka nishawahi mfungia mtu safari mpaka Singida, nilitobolewa mfuko vilivyo nikakosa hadi nauli nimefika kituoni nkaanza kuchangisha watu wapo dar
Ulifanikiwa lakini kilichokupeleka? Hilo ndo la muhimu. Hiyo pia iliwahi nitokea. Nilifuata jimama Mbulu huko halafu ikawa majira ya mvua na baridi kali. Jimama lilikuwa moto hatari nikanogewa mpaka na nauli nikaila ikaisha. Kurudi nyumbani ilibidi kutumia akili za kuzaliwa aisee
 
Ulifanikiwa lakini kilichokupeleka? Hilo ndo la muhimu. Hiyo pia iliwahi nitokea. Nilifuata jimama Mbulu huko halafu ikawa majira ya mvua na baridi kali. Jimama lilikuwa moto hatari nikanogewa mpaka na nauli nikaila ikaisha. Kurudi nyumbani ilibidi kutumia akili za kuzaliwa aisee
mission kama hizo lazima ufanikiwe! Ila huko kwa wambulu ilikuwa haki yako kabisa kula hadi nauli!
 
Back
Top Bottom