Kwani ni kweli hii
Pole kamanda. Heka heka za kawaida hizo kwa mabaharia. Uliendelea naye au ulizidiwa ukapiga chini?Kwani ni kweli hii
Nilimpakia mkongo raia mmoja mwenye mwanya nikasuuza yeye over hour na alinisii nisimalize wakati huo nilikuwa hoi baada ya kumaliza mikao yote nnayojua sikujua kama tatizo ni yeye kuumbwa na ule mwanya
Kumbe ule mwanya ndiyo ulileta dhoruba yote ile?
Good riddance (if it is true)
Hili licheza pono nalo hovyo tuMimi ndiye Mungu mwenyewe, nilimshughulikia akapotea View attachment 1811902



Ulifanikiwa lakini kilichokupeleka? Hilo ndo la muhimu. Hiyo pia iliwahi nitokea. Nilifuata jimama Mbulu huko halafu ikawa majira ya mvua na baridi kali. Jimama lilikuwa moto hatari nikanogewa mpaka na nauli nikaila ikaisha. Kurudi nyumbani ilibidi kutumia akili za kuzaliwa aiseeHayo ni mambo ya kawaida mkuu hasa kwa vijana wa kiume, nakumbuka nishawahi mfungia mtu safari mpaka Singida, nilitobolewa mfuko vilivyo nikakosa hadi nauli nimefika kituoni nkaanza kuchangisha watu wapo dar![]()



Dah!Pole kamanda. Heka heka za kawaida hizo kwa mabaharia. Uliendelea naye au ulizidiwa ukapiga chini?
Ulifanikiwa lakini kilichokupeleka? Hilo ndo la muhimu. Hiyo pia iliwahi nitokea. Nilifuata jimama Mbulu huko halafu ikawa majira ya mvua na baridi kali. Jimama lilikuwa moto hatari nikanogewa mpaka na nauli nikaila ikaisha. Kurudi nyumbani ilibidi kutumia akili za kuzaliwa aisee![]()

mission kama hizo lazima ufanikiwe! Ila huko kwa wambulu ilikuwa haki yako kabisa kula hadi nauli!Mkuu, chuo kilifunguliwa mi nimekwama Mbulu. We acha tu. Mpaka leo Wambulu sina hamu nao aiseemission kama hizo lazima ufanikiwe! Ila huko kwa wambulu ilikuwa haki yako kabisa kula hadi nauli!



Japo mama amekana lakini wananzengo wanasema mazingira ni yale yale. Pazia ni lile lile. Kama ni kweli basi huyu mama hopulesi kabisa yaani!Hizi ndio mali za mama na mwana?!![]()