Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

JamiiForums-1230114844.jpg
 
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita"

"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe »

´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona"

"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue"

"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa"

"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini"

"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine »

"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi »

"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki"

Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"

Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai"




 
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita"

"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe »

´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona"

"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue"

"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa"

"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini"

"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine »

"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi »

"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki"

Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"

Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai"




Faaanda za ilinga taaamu be!
 
Back
Top Bottom