"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita"
"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe »
´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona"
"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue"
"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa"
"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini"
"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine »
"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi »
"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki"
Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"
Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai"
![]()






Hata kama ni mtumishi wao hawawezi kukubali



Mtadili naye tena kivipi mwenyekiti? Mtamuua? Acheni vyombo vya haki vifanye kazi yake.

Aisee Mungu asaidie tuwe na katiba mpya huyu ni Shetani
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita"
"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe »
´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona"
"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue"
"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa"
"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini"
"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine »
"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi »
"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki"
Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"
Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai"
![]()