Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

JamiiForums-1230114844.jpg
 
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita" [emoji2305]

"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe » [emoji2305]

´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona" [emoji2305]

"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue" [emoji2305]

"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa" [emoji2305]

"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini" [emoji2305]

"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine » [emoji2305]

"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi » [emoji2303]

"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki" [emoji2303]

Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"[emoji40][emoji12]

Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai" [emoji2304]



[emoji2099][emoji2099][emoji2443]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Wewe ni msukuma?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Dokta"
"Dogita" [emoji2305]

"Wewe ni mhaya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Ng'ombe"
« Ngombe » [emoji2305]

´Wewe ni msambaa?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Corona"
"Coona" [emoji2305]

"Wewe ni mchaga?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema hizo ‘nguo uzifue"
"Hiso nguo usifue" [emoji2305]

"Wewe ni Mmakonde"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema mtu mkubwa"
"Ntu nkubwa" [emoji2305]

"Wewe ni mhehe?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema karantini"
"karandini" [emoji2305]

"Wewe ni muha?
"hapana "
‘Kweli?’
‘Ndiyo’
"sema ‘nne’"
« Ine » [emoji2305]

"Wewe ni mkurya?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema uji"
« Uchi » [emoji2303]

"Wewe ni mpare?"
"Hapana"
"Kweli?"
"Ndio"
"Sema Samaki"
"Thamaki" [emoji2303]

Wewe ni mmeru?
Hapana
Kweli?
Ndio
Sema parachichi!
"Barashishi"[emoji40][emoji12]

Wewe ni Mnyakusa?
Hapa na
Kweli?
Ndiyo
Sema chupa ya chai!
" Kyupa ya kyai" [emoji2304]



[emoji2099][emoji2099][emoji2443]

Faaanda za ilinga taaamu be!
 
Back
Top Bottom