Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

400149600133_386606.jpg
 
Nikitafakari maisha ya Kiafrika na historia hata ya kabla ya ujio wa mzungu, huwa naona kuna ukweli fulani hivi. Hebu tulia ulinganishe baadhi ya makazi duni ya sasa kwenye maeneo ya Afrika ulingaishe na majengo ya karne za kitambo bara Uropa, utaona kunao waliishi vizuri kuzidi ndugu zetu wa leo.

Ujerumani iliyohusika kwenye vita vya kwanza vya dunia inaweza ikagaragaza mataifa mengi ya kisasa Afrika.
Hapa ndio hawa Jamaa wanatupiga kila leo,tunajidharau wenyewe hatuamini kuwa tunao uwezo zaidi yao.

Kila binadamu amezaliwa na mwanamke,hakuna binadamu aliyekuwa sokwe,then akawa binadamu.

Leo ukiona nchi zetu hatuwezi simamia lasilimali zetu kikamilifu,maana tuna kaakili ka kitumwa tumwa(sorry about that).

Jiulize leo nchi hii kwanini hatupigi hatua kubwa kimaendeleo kama nchi zaidi ya individual?!

Wezi wengi ni kina nani?
Magereze yetu yamejaaa kina nani?
Ukombozi wa mwafika,utakombolewa na mwafika pindi akijua anaweza kusimama mwenyewe bila utegemezi(misaada nk).
 
Back
Top Bottom