Hahahaha jamaa ameshaanza kuwa kizee furaniSiku zaenda kasi sana...mtu na mjukuu wake.
View attachment 1800286


Pamoja na umri lakini hataki kuacha bange.Siku zaenda kasi sana...mtu na mjukuu wake.
View attachment 1800286


Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana. Si wangemjengea angalau kajumba ka kishikaji kwa ajili ya uzinduzi huu? Roho kama za wanyama!!!



Hao pisi kali wa kutoa 'Yuusuuuffff' ndio hazardous! 🤣 🤣 🤣 Huo ni mjambo wa mix ya mayai na ndondo! Bora hilo la 'pata pata pata!' halinaga harufu kali. 😂 😂 😂 😂