DellaPina
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 1,024
- 3,512
Hakuna chakula nakionaga kitamu kama nilichokiandaa mwenyewe![]()
Swadakta
Hakuna chakula nakionaga kitamu kama nilichokiandaa mwenyewe![]()
🤣🤣🤣🤣🤣
Anaenda kufungua duka huyo. Cha ajabu et mahari wanatoa had nguruwe😂😂😂 ndio mara ya kwanza kuona hyoYaani haya mazagazaga yote haya ni sehemu ya mahari? Utafikiri wapo kwa mganga wa kienyeji
View attachment 1793884
Mie hapo nitatoa sahani tu




Mkia huo... 🤔 Aje nae tu, kwani iko nini!!! 🤣 🤣 🤣
Mkuu, si bora nifungue duka? 😂 😂 😂Yaani haya mazagazaga yote haya ni sehemu ya mahari? Utafikiri wapo kwa mganga wa kienyeji
View attachment 1793884
Toeni mahari vijana muoe kwa heshima kama inavyotakiwa banaMkuu, si bora nifungue duka?![]()
![]()
![]()

Duh, familia ilichezewa rafu!🤔Jamaa kazaliwa miaka minne baada ya mamake mzazi kufariki. Africa, I salute you !
View attachment 1793873
Zinaenda shushia pilau hizo.. 😂 😂 😂Maisha ni haya haya hakuna mengine!
View attachment 1793878
Ukweli asilimia100%
Apana bhana, hii ni faulu kabisa, haiwezekani. 😂Toeni mahari vijana muoe kwa heshima kama inavyotakiwa bana![]()