Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Hakuna lolote! Kwahyo hao vijana wanafunzi nao hutumia vumbi la kongoKumridhisha mwanamke WA kabila hiyo ni shughuli pevu inabidi ununue Tani ya Vumbi la Congo. Hiyo ni Kwa le vibamias.
Hakuna lolote! Kwahyo hao vijana wanafunzi nao hutumia vumbi la kongoKumridhisha mwanamke WA kabila hiyo ni shughuli pevu inabidi ununue Tani ya Vumbi la Congo. Hiyo ni Kwa le vibamias.
Binti chizi freshi! 🤣 🤣 🤣
Umetishaa sana mkuu 😂😂😂 hilo neno umenikumbusha sana aiiisee nimecheka sana 😂😂😂👊Wasukuma hatuwezi mkuu![]()
Hehe, huu ni mtani kwa wakulungwa! 🤣Matuta ya barabarani huku kwetu Uswahilini duh! Sidhani kama wanaweza weka tuta kama hili Masaki au Oysterbay.
View attachment 1790699
Uswazi kila kitu ni ubabe na kukomoana ......hata mamlaka za nchi zinafanya hivyoMatuta ya barabarani huku kwetu Uswahilini duh! Sidhani kama wanaweza weka tuta kama hili Masaki au Oysterbay.
View attachment 1790699




Vishonde vya UG havina madini dadeq! 🤣 🤣 🤣 🤣
Msisahau kumkirimu Mafufu na kyai kya lukama pia, daah, namisi hio kitu na tule tu mshikaki pale maeneo ya Meta mida ya jioni jioni huku ukipulizwa na kijibaridi flan ivi.
Yaitwa plan C, D, & E... 😂
Hata wewe mtumishi?








Hata wewe mtumishi?
Wasukuma watoe hapo uweke Wanyaki![]()