Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Wasukuma mmeanza kujihami mapema tu

Wasukuma mmeanza kujihami mapema tu

Vita ni vita mura!Wasukuma mmeanza kujihami mapema tu![]()
Hivi kwa mfano mechi ikitanganzwa tena na sisi wananchi tukaziraaaa kwenda uwanjani kushangilia hivi ni nani atapata HASARA?Tumechoka kupelekeshwa,na sisi wananchi siku tukaamua yetu hizo mechi zitabaki stories.
Hii ni sawa na sisi walevi Tanzania nzima tugome kunywa pombe yoyote kwa mwezi mzima nadhani nchi inaweza kuelewa ni nini mchango wetu katika uchumi wa nchi,ngojeni tujitambue
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app



. Hii inahitaji falsafa jumuishi, malengo ya pamoja na uongozi imara. Umenikumbusha komedi moja ya mwandishi mashuhuri wa tamthiliya wa Ugiriki ya kale aliyeitwa Aristophanes. Katika tamthiliya yake ya kupinga vita ya Lysistrata, wanawake wote waligoma kufanya ngono na wanaume wakidai kuwa walikuwa wamechoshwa na mapigano na wakataka kukomeshwa kwa vita vya Peloponnesian. Na kweli haikuchukua muda vita vilikoma mara moja na amani ikapatikana. The power of p*ssy!
Unaamua kulala kidogo ili usahau matatizo yako ukilala unayaota![]()
Mkuu wewe ni Mtaalam!mimi sijauliza
Hivi kwa mfano mechi ikitanganzwa tena na sisi wananchi tukaziraaaa kwenda uwanjani kushangilia hivi ni nani atapata HASARA?Tumechoka kupelekeshwa,na sisi wananchi siku tukaamua yetu hizo mechi zitabaki stories.
Hii ni sawa na sisi walevi Tanzania nzima tugome kunywa pombe yoyote kwa mwezi mzima nadhani nchi inaweza kuelewa ni nini mchango wetu katika uchumi wa nchi,ngojeni tujitambue
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app




mgomo wa walevi hautakaa ufanikiwe...ogopa kitu kinaitwa kiu na hamu ya ugimbi