Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Uvinza for protein anyone?
Tumblr_l_384391373062687.jpg
 
Emu
Akikudonoa kichwa huponi
Huwezi kumzidi mbio. Ni hatari kuliko mbuni.
Asante mkuu, Emu kumbe, nilimfananisha na Cassowary, pia wa Australia, hatari sana pia ukiwa 18 yake, anamaliza kazi. Australia dadeq kuna wanyama hatari wasiopatikana sehemu zingine duniani, kuanzia nyoka, ndege na hata baharini. Duh, kule nomare!
 
Back
Top Bottom