CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Mi nimeivunja juzi....hiyo ndoa ikae tu....itavumiliwa na Wasukuma.
Mi nimeivunja juzi....hiyo ndoa ikae tu....itavumiliwa na Wasukuma.
Napataje hizi pg?Hizi page za je,wajua?je,wajua? Sometimes waongo khaaa!!!!View attachment 1781416
Instagram na fb huko utawakuta..Napataje hizi pg?
HahaaaaaaKumekuchaaaaView attachment 1781610
Yai la Emu hili...
View attachment 1781299
Sofapaka fc... 😂 😂 😂
Australia labda niishi town, lakini vijijini hapana! 😂 😂 😂Achana na hao ndege walisha wahi kushinda vita huko Australia hadi wakapewa ardhi yao. Kasome the great Emu war.
Nimecheki kumbe wana mbinde hivyo, hadi kuletewa vifaa vya vita Duh 😂Achana na hao ndege walisha wahi kushinda vita huko Australia hadi wakapewa ardhi yao. Kasome the great Emu war.