Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

JamiiForums-213966348.jpg
 
Bwana we hii nimekutana nayo jana bush moja wanapaita bihawana-Dodoma.

Somebody kapoteza muda wake kabisa kaandika kwenye ukuta wa choo yafuatayo

Usinawe haya maji utawashwa sana

Cha kushangaza kuna jaba limejaa maji mpaka shingoni,niliganda pale natafakari kama dk 3,5 nilichokifanya na mimi anajua mungu.
 
Bwana we hii nimekutana nayo jana bush moja wanapaita bihawana-Dodoma.

Somebody kapoteza muda wake kabisa kaandika kwenye ukuta wa choo yafuatayo

Usinawe haya maji utawashwa sana

Cha kushangaza kuna jaba limejaa maji mpaka shingoni,niliganda pale natafakari kama dk 3,5 nilichokifanya na mimi anajua mungu.


Ulinawa hukunawa? Ilikuwaje?
 
Eti kwa vile huko nyuma ulikuwa umezoea kuiba bila kukamatwa leo umeiba ukakutana na za mwizi arobaini ukakamatwa ndo uanze kulalamika kuwa mbona huko nyuma nilikuwa naiba lakini sikamatwi?. Kha !!!

Tujaribuni kujenga jamii inayofuata sheria, haki na usawa - hasa katika utawala huu wa mama. Tabia ya kupindisha pindisha sheria na kanuni tulizojiwekea sisi wenyewe kwa visingizio hivi na vile siyo nzuri. Kama sheria au kanuni fulani hatuipendi basi tuibadilishe kwa kufuata utaratibu tuliojiwekea. Binafsi Yanga wamenikosha sana !!!
 
Back
Top Bottom