Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,185
- 1,077,274
Nafahamu ya kuwa ni wakenya mkuu, ila m7 ndio top 🤣🤣🤣🤣🤣Ati M7, hawa si Waganda mkuu! 🤣
Jamaa yupo comfortable kabisa 🤣 🤣 🤣
JK mafia sana, kweli aliitendea haki career yake ya kuwa mjeda 😂 😂 😂 😂Siasa za Kenya ni ngumu mno. Mambo ya ukabila ukiongeza na kupigana chenga za kawaida za kisiasa kama zile alizopigwa Lowassa na JK basi ni hatari tupu.
Itakuwa lilikuwa pishi la mtoto wa kitanga - Full nazi & madikodiko & milimbwata ndani yake
Ndo pale unapokumbuka ule msemo wa nyumba ni choo
Duh, maisha lknAlifariki mwaka jana. Alizaa watoto watatu na huyo mwanafunzi wake. Mapenzi!
View attachment 1774273
Doooh
Chenga na danadana alizopigwa Lowassa na JK ndiyo chenga anazopigwa Lutto na Kenyatta.Siasa za Kenya ni ngumu mno. Mambo ya ukabila ukiongeza na kupigana chenga za kawaida za kisiasa kama zile alizopigwa Lowassa na JK basi ni hatari tupu.