Rangi inapotea inabaki rangi ya mchuzi.Hawa wakipikwa hii rangi vipi bado utaiona, ama?![]()
![]()
![]()
Nikikuona Jehanamu aisee nitakukimbia. Hufaisi bado yupo kwenye platforms zingine zile premium bado anakimbiza!! Huyo sikujua kama ni dior dior!!



Moja kwa moja akhera kamanda...na mabikra 72 wasiomaliza ubikra wanakuhusu 100%Hakuna hata mmoja hapo ninaemfahamu! Du, nimesave!
![]()
Unaambiwa nguvu inayozalishwa katika mgongano huu ni sawa na mgongano wa magari mawili yenye ukubwa wa kawaida yanapogongana uso kwa uso
Asante Minji. Ulale salamaNiwatakie usiku mwema nalala nitapita tena kesho



Kila mbabe ana mbabe wake. Ni suala la muda tu. Na kifo ndiyo mbabe wa wababe wote. Be humble
