moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Kwema kamanda, siku 3 nilikuwa kwenye mtanange wa kutafuta tonge.Ulipotea kwa muda kamanda. Kwema? Tuko chungu cha ngapi?
Huwezi kufanya siasa bila kusimamia unafikiWanafiki hao. Opportunists tu...
Ushujaa wa mtu hupimwa kwa jinsi anavyopambana na mifumo ambayo hakubaliani nayo. Kwa wenzetu huko serikali uliyomo ikianza kukengeuka na wewe hupendi kushiriki ukengeufu huo basi unaweka msimamo wako wazi na kujiuzulu mara moja.
Hawa wa kwetu hapana. Wanaunga mkono kila kitu halafu mambo yakibadilika nao wanabadilika ghafla na kutaka waonekane mashujaa. Waongo, wanafiki na wachumia tumbo tu!
2021 hawavai....
Ukiila bila kujua hakuna shida
Tatizo nini? Maisha magumu baada ya utalii kudorora au nini?
Kwema kamanda, siku 3 nilikuwa kwenye mtanange wa kutafuta tonge.
Chungu 15, mwezi umefika kati kati
Mkuu nalitandikaga tako balaa. Ndiyo maana napenda waliofungasha. Kuna raha yake yaani...MahabaaaWhy bro? Kwa hiyo wewe wakati wa doggy style hulichapi chapi tako?



Kwa mpalange ama?Ah wee ujuwagi tuu watu wanapewa nini huko nje. Mke anaweza asikutimizie fantasy zako.
Tonge linapatikana ado ado tunamshukuru Mungu.Naam! Kutafuta tonge ni wajibu wetu mtakatifu. Bila shaka tonge limepatikana; na zaidi.
Chungu cha 15. Aisee mmepiga hatua nzuri. Hongereni sana !!!
Ni kweliUkiila bila kujua hakuna shida