Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384







naona wameshapata mpaka mafuvu yake
😂😂😂 anafanana na mzee wa ubwabwa
Karibu bei za vijiko, uma na visu zitapanda bei...
View attachment 1766084

ukishaanza kukaa na wakongo kwenye mavazi lazima utaanza kuleta mtafaruku

saa hiyo MTU anatumia fuvu tu ubongo umelala
Hahahaaaa anajiandaa kupasuka huyoKama hujui strees ndio utajua kama unajuaView attachment 1766051
Mtu mmekunywa naye Bia miaka 4 akiwa Jobless.. Kapata Kazi anadai Ameokoka ameacha Pombe
Inauma Sana! huyu ukimloga hupati dhambi
Hata akiokoka bia zetu lazima azilipie tutapeleka bili huko huko wokovuni


tunamloga na dhambi hatupati!Usisahau na kuvua shati unaliweka begani unatembea kifua wazi!
