Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_0821.jpg
 
Miongoni mwa marais wenye uvumilivu ni Uhuru
Kuna wakati naye huwa anachoka jamaa wanakamatwa hasa wakizidisha, kama yule aliyesema Kenya isihusishwe na ulipaji wa madeni yaliyokopwa na Uhuru bali yachukuliwe kama mkopo binafsi kwake na familia yake eti kwa vile ni matajiri sana basi wataweza kuilipa hiyo mikopo huko mbele ya safari lakini siyo kuibambikia Kenya. Na nadhani sheria yao ya makosa ya mtandao siyo kali kama yetu na kidogo...na ana ngozi ngumu.
 
Back
Top Bottom