tunaomba city clock zote zibandikwe sura yake na itengwe siku maalum ya kukumbuka mchango wake



Umegusa wengi hapa
Jamaa yetu bado haamini kilichotokea.
Huyu hana shida. Ni tajiri tayari. Hapo anavuta mshiko mrefu wa posho za ubunge bure tu. Na baada ya miaka mitano miliono 300 zinamsubiri. Na nadhani ni balozi pia...Jamaa yetu bado haamini kilichotokea.
Ukuu wa Mungu unaonekana hapa.
Katibu Mkuu wa CCM, mara
Katibu Mkuu Kiongozi, mara
Mbunge asiye na Jimbo.
Muda mfupi tu kila kitu kimefanyika na haamini kilichotokea.
Kama ni mchamungu hatasumbuka.
Kama alikuwa mjivuni na kiburi kwa sababu ya hivyo vyeo lazima atateseka.
Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo.View attachment 1761914
Is that a shark or just a turtle?





