Hivi Macron ana mtoto na huyu wife wake?




wengine wana roho za kigiriki hapo akiona hawezi kudukua anakagonga ka display kwa hasira.Heshimu picha za watu.Tht mzungu anashangaa nyani zipo first class kivipi!View attachment 1758124
Relax. Kwani haujui wazungu wanatuonaga sisi ni manyani tuu.
Macho yangu ya uzee yana nidanganya naona Watu.Tht mzungu anashangaa nyani zipo first class kivipi!View attachment 1758124
Siyo poa kamanda but I understand where you are coming fromTht mzungu anashangaa nyani zipo first class kivipi!View attachment 1758124






Hawa ukiwabana kwenye kodi tu basi wanatimua. Tax heavens sasa ni nchi za Latin America.