Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ushindweee
Tumblr_l_87645663885053.gif
 
Miili yao iliyokaushwa na majivu ya volkeno imeeleza mengi kuhusu mfumo wao wa maisha ulivyokuwa. Huyu baharia yeye pengine aliona ashtue kimoja cha mwisho mwisho majivu ya moto ya volkeno yakamuwahi. What a legend !!!
 
Wanasayansi na wanahistoria wanaamini kwamba japo picha hiyo kweli ni ya kutoka Pompei, haiwezi kuwa inaonyesha mtu anayeungurumisha punyeto katika dakika zake za mwisho.

Wanasema kwamba maiti nyingi kutoka Pompeii zinaonyesha maumbo na mikao ya ajabu ajabu kutokana na kubanikwa na majivu ya volkeno yaliyokuwa na joto kali sana. Ni athari tu za misuli ya binadamu inavyokunjamana katika joto kali kama lile. Wanasema kuwa isingewezekana mtu kujaribu kupiga punyeto katika mazingira yale kwa sababu kwanza kusingekuwa na hewa ya Oksijeni ya kutosha na hewa yenyewe ingekuwa ya joto mno kuweza kuvutika. Katika sekeseke lile isingewezekana kuwa na nguvu za kuweza kupiga punyeto.

Kwa hiyo kwa kiasi kikubwa inaaminika maelezo ya picha hii siyo ya kweli japo yameenea sana mitandaoni.
 
Back
Top Bottom