Nadhani ubunge una maana zaidi kwake kuliko uenezi wa chama.Zimevuja tenaView attachment 1741027
Aseee.




Kwani Korodani inazuia kufanya mapenzi?au mna maoni gani ndugu zangu?
Mapenzi ni pamoja na Sex.Kwani Korodani inazuia kufanya mapenzi?au mna maoni gani ndugu zangu?
Mungu ajaalie korodani zetu zibak salama mpaka tutakapokata moto.Mapenzi ni pamoja na Sex.
Korodani ndiyo mtambo wa kuvimbisha uume na kusukuma manii,
Korodani ikipasuka imekula kwako.
Aisee ni kweli, baada ya jibu lako nikaingia chimbo ni kweli korodani zikiondoka ni shida imeingia maana homoni zote za kiume zitaondoka unaweza hata kuanza kuota matiti,kunenepa nkMapenzi ni pamoja na Sex.
Korodani ndiyo mtambo wa kuvimbisha uume na kusukuma manii,
Korodani ikipasuka imekula kwako.