Baharia hapo anataka kuwa tembo naye apandwe

Hela za urithi tu ndo zinatafutwa hapo
Mkuu kuna picha uliwahi kuiweka imepigwa ufukweni kuna jamaa anapita anaendesha baiskeli amevaa kanzu nyeupe na kuna watu wengine wachache wanaonekana kwa mbali! Halafu ule ubluu wa bahari na mbingu ni kama umeongezewa effects hivi umekozwa kama bado unayo tafadhali naomba uiweke hapa!Msitu na nyikaView attachment 1734399



PhotoshopMade In Dar es SalaamView attachment 1734661