moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,132
- 770,195
Kuna watu huo ndo ugonjwa wao. Haya mambo we acha tu ...Ni kila mtu na lwake!Yale makubwa tunatumia kama mito ya kulalia, nothing else!
Yalikuwa na sababu zake. Ulizia wazee watakwambiaVunja chungu. Sijui ukimfanyaje chungu home kinavunjikautotoni kuna mambo ya kifala sana.