😲😲 Lema anazingua hata kama waligombana hii sio sawa.
Wapuuzi haoLema anazingua hata kama waligombana hii sio sawa.


kweli kabisa anaweza kupigia tukio sehem then msala unabeba weweAcha upumbavu, kati yako na Magufuli ni nani ana haki mbele za Mungu.? Magufuli ana makosa yake na ww na Mm tuna makosa yetu na kila mtu atahukumiwa kwa makosa yakeMungu akusamehe kwa kuwa hujui vile Taifa limepitia magumu ndani ya miaka mitano iliyopita!
View attachment 1728540
Unaelewa tofauti ya makosa ambayo nimetenda mimi na makosa ambayo ametenda Magufuli?Mimi nimewahi kuwa Rais?Unalinganisha makosa ambayo nimetenda mimi raia wa kawaida na makosa ambayo ametenda mtu ambae aliwahi kuwa Rais?Unajua jinsi ya kulinganisha vitu na kutofautisha vitu?Acha upumbavu, kati yako na Magufuli ni nani ana haki mbele za Mungu.? Magufuli ana makosa yake na ww na Mm tuna makosa yetu na kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake
Duuuh kweli nmeamini kuwa Mtanzania ni mzigo, kwahy kwenye hukumu ya Mungu pia kutakuwa na madaraja kutokana na cheo cha mtu alichokuwa nayo duniani.?Unaelewa tofauti ya makosa ambayo nimetenda mimi na makosa ambayo ametenda Magufuli?Mimi nimewahi kuwa Rais?Unalinganisha makosa ambayo nimetenda mimi raia wa kawaida na makosa ambayo ametenda mtu ambae aliwahi kuwa Rais?Unajua jinsi ya kulinganisha vitu na kutofautisha vitu?
Unajua kusoma?Wapi nimezungumzia cheo na madaraja ya watu?Unahitaji PhD kujua ya kwamba dhambi anazotenda mtu ambae ni Rais ni tofauti kabisa na dhambi anazotenda raia wa kawaida?Mimi nimewahi kuteka watu na kuwaua na kwenda kuwatupa baharini?Mimi nimewahi kubambikizia wapinzani kesi za kuhujumu uchumi?Mimi nimewahi kutumia TISS kutesa wapinzani?Mimi nimewahi kuagiza kuwa hakuna kupambana na Corona ili Watanzania wengi wafe?Mimi nimewahi kunyanganya watu haki zao za kuishi kisa tu wamenikosoa?Mimi nimewahi kunyang'anya watu uhuru wa kuchagua viongozi wanaowataka?Duuuh kweli nmeamini kuwa Mtanzania ni mzigo, kwahy kwenye hukumu ya Mungu pia kutakuwa na madaraja kutokana na cheo cha mtu alichokuwa nayo duniani.?
Dawa ni kwenda kuzi cancels line zako mambo yanaisha.kweli kabisa anaweza kupigia tukio sehem then msala unabeba wewe
Lema anazingua hata kama waligombana hii sio sawa.
mbona mlishangilia Lema alivyokimbia Kifo, au alipotupwa Jela mwenye maamuzi ni Mungu muuma wa vyote acheni na yeye afurahi na kurudi nyumbani kwake Arusha.😲😲 Lema anazingua hata kama waligombana hii sio sawa.
BBC waongo Nkurunziza Pieree kazazliwa Disemba 1964 ametwaliwa na Corona akiwa na miaka 57, mbona kila kiongozi BBC wanaandika kaondoka na Moyo
Aanze na wwMungu akusamehe kwa kuwa hujui vile Taifa limepitia magumu ndani ya miaka mitano iliyopita!
View attachment 1728540