moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,130
- 770,187
Mashaallah
Mashaallah
Anataka Mguu wa mtoto







Ni hatua moja ambayo unaweza kuhisi tumbo linapanda na kushuka, pumzi kama zinataka kukata, then unahisi mbona kama haitembei, tena kama upo dirishani unachungulia nje na kuangalia kama kuna majengo, mara unahisi mbona kama mlio wa engine umezima hivi








ukisikia mlio kidogo unahisi mbona kama imeganda angani 














Huyu alinilia hela zangu badoo miaka hiyoo!















Picha tu!huyu kweli au picha tu,,
Ni hatua moja ambayo unaweza kuhisi tumbo linapanda na kushuka, pumzi kama zinataka kukata, then unahisi mbona kama haitembei, tena kama upo dirishani unachungulia nje na kuangalia kama kuna majengo, mara unahisi mbona kama mlio wa engine umezima hiviukisikia mlio kidogo unahisi mbona kama imeganda angani
![]()





Hasa pale usikie ndege ina hitilafu, unaweza kujinyea bila kujua! Ukishuka unashangaa nzi tu wanakufata!














