njoo usukumani mkuu mbona kawaida sana hiiHivi fisi anatumikaje kama chombo cha usafiri?
Ni kama punda au farasi ?
Kwa eneo ninaloishi hata punda sijamuona acha fisiKwani we ushawahi kumwona fisi mtaani anatembea Kama punda ?
Kabla sijafika huko naomba angalau ABCD namna mnyama huyo anavyotumika pande hizonjoo usukumani mkuu mbona kawaida sana hii
Aseee, huyu jamaa siyo bure
Mbuzi wa kufuga
Fisi wa kufuga.
Kama uliwahi kuishi Dodoma, Mbeya au Dar hiyo kitu lazima unaijuaKweli