curtis jr2
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 770
- 4,588
Ahaha ahya bhna, KaribuSiku nikipata kasafari ka huko,nitakutafuta ukanionyeshe nishuhudie na mimi
Wanasema"Tembea uone"
Ahaha ahya bhna, KaribuSiku nikipata kasafari ka huko,nitakutafuta ukanionyeshe nishuhudie na mimi
Wanasema"Tembea uone"
Amezengua.Hizi ni kufuru na huyo aliyeandika anatafuta laana
Huku kwetu sijawahi sikia.Kila mkoa yapo best ni vile we hutembei tembei nmepita kwanza arusha bukoba, kahama, dodoma, tanga, kila sehem hizo nmeona watu wanauza mdudu
AsanteeAhaha ahya bhna, Karibu
Hiyo mbona ni kawaida sana.Aiseee
Tatizo sijawahi kuishi dasalama
Huku ileje sijawahi kuona hayo mambo,ndiyo maana nashangaa.
Simba hawana makosa. Wameonewa !!!Mfanyakazi wa hifadhi ya taifa ya "Malakere National park" nchi Afrika kusini, Malibongwe Mfile mwenye miaka 27 Ameliwa na Simba ndani ya hifadhi hiyo wakati akiwafuatilia Chui waliofungwa vifaa maalum "tracking device" ambazo zinatambua mahali walipo.
Bwana Mfile alikuwa pekee kwenye pori hilo akiwa anaendesha gari aina Jeep, aliposhuka Simba hao walimvamia na kumla.
Hata hivyo Simba hao wawili wameuwawaView attachment 1720832
usiku pita mafiati pale njia panda wako kibaoKumbe haya mambo ni huko daslama
Huku mikoani sijawahi sikia.
Simba wameuwawa kwa hasira za kibinadamu, vinginevyo bwana Malibongwe ameingia akijua kuna viumbe hatari eneo hilo.Simba hawana makosa. Wameonewa !!!