Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

ANGALIZO LA SIKU YA WANAWAKE

Hii siku ni ya wanawake wanaojielewa, wanaojitegemea na wanaofanya mambo ya kueleweka kwenye jamii.

Kama wewe ni mdangaji, slay queen, mchunaji, tegemezi, umetelekeza mtoto kijijini wewe unabugia michemsho ya bure tu huku mjini, unaomba hadi hela ya toothpick, una msururu wa mabwana, unatoa mimba kama unatoa mwiba mguuni nk.. hii siku haikuhusu kabisaaaa, usiharibie wanawake wenzio siku yao.

VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
 
Na hapo mbona hamna maajabu kuna watu wamevurugwa katika hii dunia.

Unasema hivi huyu mtu hana ndugu/relative maana kwa kinachoonekana ni aibu nasema aibu aibu.

Kiukweli kuna watu wamekata tamaa na wanasaka pesa bila kuwa na mizizi yeyote ya woga katika uovu!
Nitatembea labda nitaona.
Huwa nadhani ni bongo movie ama stori za kusadikika.
 
Mbona km kuna kitu hakiko sawa hilo pozi?
Angalia comments za wananzengo kwenye uzi huu....

 
IMG-20210308-WA0064.jpg
 
Back
Top Bottom