Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na hapo mbona hamna maajabu kuna watu wamevurugwa katika hii dunia.

Unasema hivi huyu mtu hana ndugu/relative maana kwa kinachoonekana ni aibu nasema aibu aibu.

Kiukweli kuna watu wamekata tamaa na wanasaka pesa bila kuwa na mizizi yeyote ya woga katika uovu!
Mimi hadi sasa siamini maana sijawahi kushuhudia..
Labda kwa sababu nakaa kijijini huku.
 
Screenshot_20210309-103924.jpg
 
Back
Top Bottom