Hata mimi nashangaa kwanini uwabata tumiliki majengo mazuri sana hivyo, hiyo pesa nani katoa!!Hatua kali zichukuliwe juu ya matumizi haya mabaya ya fedha za wanachama.
Too much VIOO kwenye jengo na pia kubwa sana nadhani just a single room ingetosha kuwa makao makuu ya mkoa,![]()
Asubuhi yote hii huyu mama anaelekea wapi tena?!Kama unamjua huyu mama basi ngamia ni rahisi kupenya katika tundu la sindano kuliko wewe kuiona mbingu
View attachment 1717675



Yees


Tanzania tuna hawa fox?🏃🏃🏃The Fox...
View attachment 1717669
Ubahiri wa wanachama wa chama hicho kwa mademu tu, lakini kwenye mambo mengine poa tuHata mimi nashangaa kwanini uwabata tumiliki majengo mazuri sana hivyo, hiyo pesa nani katoa!!

Nitaomba ning'olewe jicho moja ili ex wangu ang'olewe mawili

Kama ndiyo hilo shariti basi nitaiona mbingu.Kama unamjua huyu mama basi ngamia ni rahisi kupenya katika tundu la sindano kuliko wewe kuiona mbingu
View attachment 1717675
Aseeee

Kama ni hivyo sawaUbahiri wa wanachama wa chama hicho kwa mademu tu, lakini kwenye mambo mengine poa tu![]()


Hasa wale wa nitumie nauli na bebi nikuambie kitu......Kama ni hivyo sawa![]()
Hao wa nikwambie hawafaiHasa wale wa nitumie nauli na bebi nikuambie kitu......