Hivi huyu jamaa ni wa wapi? Mbona sura yake imekuwa maarufu sana.!
Hawa wa wapi hawa


picha yao imegeuka kuwa kituko.Hawa wa wapi hawapicha yao imegeuka kuwa kituko.

sijui wala, ni kama yule jamaa yetu anaeshangaa tu!Huyo nae nimeshajiuliza maswali yasiyokuwa na majibusijui wala, ni kama yule jamaa yetu anaeshangaa tu!



Bablaii mimi ni nganashe (dada) wewe ni Lalashe (kaka) kiarusha hicho BablaiiMtuonee huruma sasa!!
Lalashe???
Dhubutuuuuysio dunia hii Bablaii, tunavumilia tumezaliwa tumbo mojaTutajaribu kuishi nanyi kwa akili tuu then hayo mengine tutavumiliana ht kama ckufikishi




mit5no Tena
, mpaka dagaa tuziite zagaaaa!!Aina yako ndo inatufanya tutumie vumbi la CongoDhubutuuuuysio dunia hii Bablaii, tunavumilia tumezaliwa tumbo moja