The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,136
- 8,005
Umejuaje lalasheKutokana na mfumo wa maisha ya sasa nakubaliana nawew, lakini pia wadada sikuhizi wamekuwa sugu mno!
Hamieni mikoaniKweli kabisa mkuu, kumfikisha inabidi maarifa ya ziada yafanyike
Ishu n nyie kupunguza hayo mavitu yanayowafanya mkakamae huko chiniHamieni mikoani
😢 hamna mzee, mwanamke wa Mkoa anamheshimu sana hubby wake kuliko mwanamke wa dar anaavyomheshimu hubby wake.Ishu n nyie kupunguza hayo mavitu yanayowafanya mkakamae huko chini
Mtuonee huruma sasa!!Umejuaje lalashe
Tutajaribu kuishi nanyi kwa akili tuu then hayo mengine tutavumiliana ht kama ckufikishi😢 hamna mzee, mwanamke wa Mkoa anamheshimu sana hubby wake kuliko mwanamke wa dar anaavyomheshimu hubby wake.
Vyakula babalakeee