Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kweli, sometimes ukiwa mtu wa mitoko sana huoni ladha ya kula home, hiyo kitu imeniathiri na mimi
Yah! Kipindi kirefu sana nimekuwa nazunguka maisha yangu yamekuwa ni hotel to hotel.. chakula cha home ilikuwa inapita hata miezi hakijaingia mdomoni.. nature ya miangaiko inaweza ikaaamua uwaje uwaje kwa nyakati flani.. ila nikishao itakuwa home tu msosi 😂😂
 
Yah! Kipindi kirefu sana nimekuwa nazunguka maisha yangu yamekuwa ni hotel to hotel.. chakula cha home ilikuwa inapita hata miezi hakijaingia mdomoni.. nature ya miangaiko inaweza ikaaamua uwaje uwaje kwa nyakati flani.. ila nikishao itakuwa home tu msosi 😂😂
Ina. Mana hata humu jf hujapata pisi kama pisi ukaweka ndani
 
FB_IMG_1609237568487.jpg


Sent from my ACCESS55 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom