East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,065
Duh! Kuna raha yake wa kumla viwanja.Si uchemshe home babuu au uvivu
Duh! Kuna raha yake wa kumla viwanja.Si uchemshe home babuu au uvivu
Kweli, sometimes ukiwa mtu wa mitoko sana huoni ladha ya kula home, hiyo kitu imeniathiri na mimiDuh! Kuna raha yake wa kumla viwanja.
Yah! Kipindi kirefu sana nimekuwa nazunguka maisha yangu yamekuwa ni hotel to hotel.. chakula cha home ilikuwa inapita hata miezi hakijaingia mdomoni.. nature ya miangaiko inaweza ikaaamua uwaje uwaje kwa nyakati flani.. ila nikishao itakuwa home tu msosi 😂😂Kweli, sometimes ukiwa mtu wa mitoko sana huoni ladha ya kula home, hiyo kitu imeniathiri na mimi
Ina. Mana hata humu jf hujapata pisi kama pisi ukaweka ndaniYah! Kipindi kirefu sana nimekuwa nazunguka maisha yangu yamekuwa ni hotel to hotel.. chakula cha home ilikuwa inapita hata miezi hakijaingia mdomoni.. nature ya miangaiko inaweza ikaaamua uwaje uwaje kwa nyakati flani.. ila nikishao itakuwa home tu msosi 😂😂
Sina mawasiliano na mtu nje ya JF. Ndio ije kuwa kupata pisi 😃😃. PM yangu nishapiga permanent burn.. huwa sitaki kujuana na mtu nje ya JF.. maana humu tunatumia fake ID..Ina. Mana hata humu jf hujapata pisi kama pisi ukaweka ndani
Hapa sijaelewa,Sina mawasiliano na mtu nje ya JF. Ndio ije kuwa kupata pisi 😃😃. PM yangu nishapiga permanent burn.. huwa sitaki kujuana na mtu nje ya JF.. maana humu tunatumia fake ID..
Ina mana huko pm pisi zilikuwa zinakusumbua au ni aje BossSina mawasiliano na mtu nje ya JF. Ndio ije kuwa kupata pisi 😃😃. PM yangu nishapiga permanent burn.. huwa sitaki kujuana na mtu nje ya JF.. maana humu tunatumia fake ID..
Hapana mtu alie wahi nisumbua, ila nimefunga tu nikimaanisha siwezi jenga uhusiano nje jfIna mana huko pm pisi zilikuwa zinakusumbua au ni aje Boss
mbona mnamuacha anasbo safari hii taabu tunazopata Mods watatuonea huruma warudishe majukwaa yetu na Mada walizozuia 2021 kila kitu kimeachiwa hata Mkulu kalegeza na atalegezaHaya ndo vitu vya Kuhani Noah na shost yake mrangi
hii nika movie ya bean john english,alishuka parachute kwenye jengo akachumpa dirishani,kwa mbwembwe na kuanza kutia bit kwamba kuna hospital inendesha upasuaji na kubadirisha sura kinyemera,piga sana mkwara mule kwenye hospital ya wazee.


.