duhhhh hii nimetoka njee
Dah! Naona bichwa langu limekua zito kuelewa hii
Dah! Naona bichwa langu limekua zito kuelewa hii



hao jamaa ni wale wanachafua magari na vinyesi vyao sasa wanapanga kwenye kikao chao kwamba magari meupe wanashusha mzigo mweusi na magari meusi wanashusha mzigo mweupe ili uchafu uonekaneHuyo jamaa JAY Z ni hiyo juice kalegeza macho au ni GAY kavaa wig?
Hahaha hapo somo limeingia. Shukrani kiongozihao jamaa ni wale wanachafua magari na vinyesi vyao sasa wanapanga kwenye kikao chao kwamba magari meupe wanashusha mzigo mweusi na magari meusi wanashusha mzigo mweupe ili uchafu uonekane
Huyu dada kafanana na Jay Z tuHuyo jamaa JAY Z ni hiyo juice kalegeza macho au ni GAY kavaa wig?
sidhan kama ni gay!