Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Niliwahi kuona documentary flan hv ya wamama wa Kenya ambao hawajazaa, mmoja alisema ni bora uwe na mtoto kilema uitwe mama kilema kuliko upate maumivu ya kukosa mtoto.
Niliwahi kuona documentary flan hv ya wamama wa Kenya ambao hawajazaa, mmoja alisema ni bora uwe na mtoto kilema uitwe mama kilema kuliko upate maumivu ya kukosa mtoto.
Ilibidi niinunue kuijaribu. One of the best juices ever sema tu ina sukari kibao
View attachment 1654801







kudadeki




