Gari mbovu hukokotwa na gari nzima
Bwana bwana bwana mpaka mida hii nimevimbiwa kisa why nimelala satatu usiku!? Nilifanya nini mchana kilichonichosha hivyo


Anze na yakwake

Huyo jamaa mbona kitambi sana

Hawa ndiyo mafundi wa migogoro kwenye familia baadhi ya wanawake wako tayari kuvunja ndoa ili wagawane
Hahahahahaha