Aliyekutumiaga keshaolewa au ulikuja kumoa weweNinayo moja hadi leo. Siitupi.
Basi hiyo barua ni ya juzi tu hapa, sio ile ya miaka 90 mwanzoni kurudi nyuma.Bado anasoma
Hii inadhihirisha ule usemi kuwa Biashara iko kwenye damu
For one slope ingekuwa kubwa.[emoji848]View attachment 1632214
Hata mimi nimeona. Kuishusha moja kwa moja hapo haiwezekani! Nice observations [emoji1547][emoji1547][emoji1547]For one slope ingekuwa kubwa.
Na hawawezi kuipunguza maana ukiangalia kulia kule kuna barabara inapitia chini ya daraja.. hawajakosea kama tunavyotaka kuamini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa Sijaelewa