Sijaelewa
Hilo Daraja au Flyover Mkuu inapita juu ya barabara upande wa kushoto na inakuja kutua kwenye barabara nyingine upande wa kulia.

Hapo alipoonesha kuunganisha haiwezekani maana mwinuko (slope/gradient) itakuwa kubwa na hatari kwa magari. Huo mzunguko wote umeletwa ili kusaidia kupunguza mwinuko kwa namna rafiki kwa watumiaji.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
IMG_1980.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom