Hot dog
Alitangazwa kuhudhuria kuapishwa kwa BabaJesca.Yaani nashindwa kuelewa kwanini Lowassa alimuamini huyu msanii....!
View attachment 1630545View attachment 1630546
Jamaa alitabiri Covid -19 ingekwisha mwisho wa mwezi wa March mwaka huu, cha hajabu watu wasiojitambua akili bado wanamuamini tu.
Inasikitisha sanaAlitangazwa kuhudhuria kuapishwa kwa BabaJesca.
Huyu jamaa kapinda kweli..kwa wapenzi wa mieleka mtakua mnafahamu principal alifanywaje
View attachment 1630318



RKO the viper

