Anajulikana kama GINIMBI wa TUNDUMA



Huo mzigo hapo unasugua na kusafisha na kuondoa kabisa hadi dhambi
Sisi tunasubiri Angel azingue tu tuje na PASI yetu ya mkaa iliyokolezwa vizuri
Bora uchukue hizo pesa kuliko kuzikataa, halafu jamaa walale naye bila hata Senti



Si amchukue moja kwa moja😂
Jamaa hata akitoa password yakikutwa yaliyomo wanaachana na hata asipotoa hiyo password kuachana kupo palepale , hapo majibu yote ni sahihi

