Hahaha hivi huyu jamaa ni muigizaji au?
Huyu ndiye anaitwa Chikumbalaga Sukari Yao

Hahaha eti sukari yao?Huyu ndiye anaitwa Chikumbalaga Sukari Yao![]()
Ila anaonekana kama dish limeyumba.Hahaha eti sukari yao?
Mkuu jamaa anaigiza pia au ?Ila anaonekana kama dish limeyumba.
Mkuu, huwa ninaona kuna account kule Insta anapost video za vituko vituko but sijui tumuite comedian au mzee wa fursa.Mkuu jamaa anaigiza pia au ?



Kasie Matata huyo. The one and only one....![]()
Ichukue kabisa ukae nayo aisee. Huyo rafiki ngumu sana kusaidika huyoYaani hii kila ukipost mm mbavu sina![]()
